Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua madini yanayochimbwa Mpanda wakati alipotembelea banda la TPM MINING COMPANY LIMITED katika maonyesho yatakayoambatana na uzinduzi wa mkutano wa uwekezaji unaotarajiwa kufunhuliwa na Rais Jakaya Kikwete Mjini Mpanda October 17,2011. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
TBS YAIMARISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KUPITIA VIWANGO VYA UFANISI
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuchukua hatua madhubuti
katika kuhakikisha matumizi bora na salama ya nishati nchini kwa kuandaa
viwango vya...
1 hour ago
0 Comments