MENEJA Mawasil;iano na habari TBL Edith Mushi wa kwanza kulia ,Katikakati ni Meneja wa Redds Vick Kimaro na Meneja Masoko wa TBL Fimbo Butalla wakizungumza na waandishi wa habari mapema wiki hii kwenye uzinduzi wa shindano la Redds Uni Fashion Bash kwa wanavyuo wa vyuo vikuu nchini ambapo itahusisha vyuo kwenye mikoa ya Dar es salaam,Moshi,Dodoma na Mwanza.
BASI LA ABOOD LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
-
•Zilifichwa zenye mfumo wa AC na maeneo mengine ya basi hilo
*Ni basi linalofanya safari kati ya Mombasa, Kenya na Dar es Salaam
Na Said Mwishehe,Michuzi...
16 minutes ago
0 Comments