Social Icons

Wednesday, October 19, 2011

WANAVYUO MOSHI, DAR, MWANZA NA DODOMA KUKUTANISHWA KATKA REDDS UNI FASHION BASH

MENEJA Mawasil;iano na habari TBL Edith Mushi wa kwanza kulia ,Katikakati ni Meneja wa Redds Vick Kimaro na Meneja Masoko wa TBL  Fimbo Butalla wakizungumza na waandishi wa habari  mapema wiki hii kwenye uzinduzi wa shindano la Redds Uni Fashion Bash kwa wanavyuo wa vyuo vikuu nchini ambapo itahusisha vyuo kwenye mikoa ya Dar es salaam,Moshi,Dodoma na Mwanza.

No comments:

 
 
Blogger Templates