MENEJA Mawasil;iano na habari TBL Edith Mushi wa kwanza kulia ,Katikakati ni Meneja wa Redds Vick Kimaro na Meneja Masoko wa TBL Fimbo Butalla wakizungumza na waandishi wa habari mapema wiki hii kwenye uzinduzi wa shindano la Redds Uni Fashion Bash kwa wanavyuo wa vyuo vikuu nchini ambapo itahusisha vyuo kwenye mikoa ya Dar es salaam,Moshi,Dodoma na Mwanza.
FCC YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI
-
Tume ya Ushindani (FCC) imeweka mikakati mbalimbali ya kuimarisha utoaji wa
huduma bora kwa wananchi kwa wakati, kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa
...
7 minutes ago
0 Comments