MENEJA Mawasil;iano na habari TBL Edith Mushi wa kwanza kulia ,Katikakati ni Meneja wa Redds Vick Kimaro na Meneja Masoko wa TBL Fimbo Butalla wakizungumza na waandishi wa habari mapema wiki hii kwenye uzinduzi wa shindano la Redds Uni Fashion Bash kwa wanavyuo wa vyuo vikuu nchini ambapo itahusisha vyuo kwenye mikoa ya Dar es salaam,Moshi,Dodoma na Mwanza.
TRA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA WA JUMLA TUZO ZA NBAA KWA MWAKA 2024
-
Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA) yaibuka Mshindi wa Kwanza wa jumla kwenye
uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya
Uhasibu k...
51 minutes ago
0 Comments