Wakati tiketi kwa ajili ya kwenda kushuhudia mechi ya marudiano baina ya Simba na TP Mazembe yenye maskani yake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), utakaopigwa kesho Jumapili zikianza kuuzwa tangu jana, uongozi wa Simba umesema utawachukuia hatua kali na za kisheria kwa watu ambao watajaribu kughushi tiketi hizo. Taarifa zilizopatikana toka ndani ya Klabu hiyo yenye makao makuu yake mitaa ya Msimbazi zimewasisiza mashabiki kununua tiketi halali kwani kutakuwa na uhakiki na ulinzi wa hali ya juu wa tiketi siku ya pambano hilo.
SERIKALI YAIMARISHA UBIA NA SEKTA BINAFSI KUPITIA PPP CENTRE
-
KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ( PPP Centre),
kimeendesha mafunzo kwa wafanyabiashara, wawekezaji na maafisa kutoka
taasisi za kiser...
57 minutes ago
0 Comments