Wakati tiketi kwa ajili ya kwenda kushuhudia mechi ya marudiano baina ya Simba na TP Mazembe yenye maskani yake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), utakaopigwa kesho Jumapili zikianza kuuzwa tangu jana, uongozi wa Simba umesema utawachukuia hatua kali na za kisheria kwa watu ambao watajaribu kughushi tiketi hizo. Taarifa zilizopatikana toka ndani ya Klabu hiyo yenye makao makuu yake mitaa ya Msimbazi zimewasisiza mashabiki kununua tiketi halali kwani kutakuwa na uhakiki na ulinzi wa hali ya juu wa tiketi siku ya pambano hilo.
WADAU WAKUTANA KUZUNGUMZIA MRADI WA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE WA
KIMATAIFA CHA SERENGETI
-
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege
Tanzania (TAA) Jumapili April 20, 2026 wamekutana na wadau mbalimbali
kuzungumzia m...
29 minutes ago
0 Comments