Mchezaji wa Timu ya Taifa Shaaban Nditi amewatoa kimasomaso Watanzania baada ya kuiandikia Taifa Stars golo la kwanza katika dakika ya 49 huku Mbwana Samata akiongeza dozi kwa kuandika goli la pili katika dakika ya 89 ya mchezo huo hivyo Taifa Stars wameichabanga timu ya Afrika ya Kati 2-1 katika mechi ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika mwakani zitakazopigwa nchini Benin na Guinea ya Ikweta ,mechi hiyo imechezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
TMA YAIMARISHA HUDUMA ZA YA HALI YA HEWA, VIWANJA VYA NDEGE MPANDA NA PEMBA
VYANUFAIKA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeendelea
kuimarisha utoaji na udhibiti wa huduma za hali ya hew...
6 minutes ago
0 Comments