Social Icons

Saturday, January 8, 2011

KUCHEZA NA WATOTO NI JAMBO MUHIMU

Licha ya kuwa Uncle Rashid Kalili yuko bize na kutafuta maisha kajitahidi wikiendi hii kucheza ufukweni na mpwa wake Abdillah katika ufukwe wa bahari ya hindi, jijini Dar es Salaam.
Mtoto Abdillah na Mjomba Rashid wakipozi kwa picha hukoo baharini.
Abdillah akitoa machejo yake baaada ya kuona Cameraaaaa.
Abdillah Adinan Chahoa akila tiz katika ufukwe wa bahari ya Hindi .Anawatakia watoto wenzake wote wikiendi njema pia anawasalimu mama yake Tifa Shebby na babake Addy wote wa Dar es Salaam.

No comments:

 
 
Blogger Templates