Kiongozi wa wacheza shoo wa bendi Kongwe nchini The African Stars Twanga Pepeta, Lilian Tungaraza almaarufu kwa jina la Lilian Internet Jumatano mchana Mwenyeezi Mungu alimjaalia kupata mtoto WA KIUME hongera sanaa mama hata wahenga walinena RAHA YA DUNIA NI WATOTO ENH.
GoldBod Yabadili Sekta ya Dhahabu Ghana, Tanzania Yapata Mafunzo Muhimu ya
Mageuzi katika Sekta ya Madini Afrika
-
Accra, Ghana
Tume ya Madini Tanzania imefanya ziara ya kikazi kwa Bodi ya Dhahabu ya
Ghana (Ghana Gold Board – GoldBod) jijini Accra, ikiwa na lengo la
...
49 minutes ago
0 Comments