SKYLINK YATANGAZA WASHINDI WA DROO YA GARI











 Bw. Moustafa H. Khataw kutoka kampuni ya Skylink akiwakaribisha waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika katika droo ya kuwapata washindi wanne leo kwa wateja wote wa Skylink ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.
Bw.Husain AlSafi kutoka Emirates ambao walikuwa ni wadhamini wa shindano akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) leo katika ofisi za Skylink.
Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini, Bw. Abdallah Hemed akizichanganya vipeperushi ili kuwapata washindi wa droo hiyo.
Mwandishi wa habari kutoka TBC akiwa ameshika moja ya kipeperushi cha mteja wa Skylink aliyeibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia gari mpya aina Hyundai ix35   katika droo iliyochezeshwa  kwenye ofisi za Skylink Jijini Dar es Salaam.
Ofisa wa Skylink Solomon Mwale akiwatangaza washindi waliopatikana kwenye droo iliyofanywa na kampuni ya Skylink.
Mfanyakazi wa kampuni ya Skylink wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Hyundai ambao walikuwa ni wadhamini mkuu kwenye shindano hilo
Waandishi wa habari wakiwa kazini

NA  MWANDISHI WETU ,DAR ES SALAAM

Hassan Taliki mkazi wa  Jijini Dar es Salaam leo ameibuka mshindi na kushinda gari mpya aina Hyundai ix35   katika droo iliyochezeshwa  kwenye ofisi za Skylink Jijini Dar es Salaam.

Mshindi huyo amepatikana kutokana na kukata tiketi ya ndege katika Kampuni hiyo hivyo ili aweze kupata zawadi hiyo ametakiwa kwenda na kipeperushi Skylink cha tiketi aliyokana na kitambulisho chake kwa maelekezo zaidi.

Washindi wengine walioshinda kwenye droo hiyo ni  Mohamed Swala ambaye  ameshinda safari ya kwenda Mahinra  kwenda na kurudi huku Issa Nassoro ambaye amekuwa mshindi wa tatu  amepata tiketi ya kwenda na kurudi Dubai ambako atapelekwa na Kampuni hiyo .

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari  Ofisa wa Skylink Solomon Mwale  alisema kwamba wamepanga kufanya hafla ya kuwakabidhi washindi hao zawadi zao ili umma uweze kuamini kwamba hawabahatishi na droo ikichezeshwa inakuwa  ni kweli.

Droo hii ni sehemu ya motisha inayotolewa na Kampuni yetu  kwa wateja wote wa Skylink ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.

Droo hiyo imedhaminiwa na Skylink, Hyundai, Emirates, Exim Bank na Club Mahindra.

 Dar es Salaam. Skylink Travel and Tours and its partners have awarded two brand new Hyundai cars to winners of the so-called “Book & Win “promotion.

During the draw held in Dar es Salaam  yesterday, a city resident, Hassan Taleq emerged overall winner to win a Hyundai ix25, worth about Sh82m while Mohamed Yahya also won the Hyundai accent worth about Sh40m.

Speaking over phone soon after being informed, Taleq said that he was happy to win the promotion and walk away with a brand new car.

"My current car is old and out of order, the new one has come at thr right time," said Taleq.
"I don't what to say and how to express my feeling, but iam extremely happy for emerging lucky winner," he concluded.

Sponsored by Hyundai, Emirates, Exim Bank and Club Mahindra, an official with Skylink, Solomon Mwale, who is the Head of Leisure, announced Issa Nassoro as the third placed winner to win two-fully sponsored trip to Dubai.
Another fully sponsored trip also went to Mohamed Swara for emerging fourth winner.

Mwale said the promotion was initiated by his firm in partnership with their business partners for their customers who made their flight bookings through their agency starting May last year.

Ann official with Club Mahindra, Aaga Mehta said during announcing the Draw winners that they feel happy to be part of the draw to award lucky customers.

Husain Alsaf of Emirates, whose airline has been operating for about two decades, said the promotion involved customers who booked their tickets to travel with one of the three airlines.

Post a Comment

0 Comments