Wakiwa na nyuso za furaha ni Msanii wa filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' akiwa katika pozi na mume
wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala bungoni na
kufuatia na sherehe kubwa bwana harusi ni mfanya bihashara na bi, ni
msanii wa kujitegemea.
WMA ARUSHA YATOA ONYO KALI KWA WAKULIMA WA VITUNGUU
-
Na.Vero Ignatus, Arusha
Wakala wa vipimo mkoani Arusha WMA wametoa onyo Kali Kwa wauzaji wa
vitunguu kuacha kutumia vipimo vya Rumbesa badala yake watu...
1 hour ago

0 Comments