Wakiwa na nyuso za furaha ni Msanii wa filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' akiwa katika pozi na mume
wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala bungoni na
kufuatia na sherehe kubwa bwana harusi ni mfanya bihashara na bi, ni
msanii wa kujitegemea.
UJUMBE KUTOKA JAPAN WAKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAKILI MKUU WA
SERIKALI
-
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa
Taasisi ya Mafunzo na Utafiti, Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa kutoka
Japan,
...
2 hours ago
0 Comments