Alula Girma wa timu ya taifa ya Ethiopia(kulia) akichuana na Abuelgasim Saeed wa timu ya taifa ya Sudan wakati wa mchezo wao wa michuano ya kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika kuanzia saa nane mchana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na timu hizo kutoka sare ya magoli 1-1 (Picha na Mohammed Mambo).
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo akutana na Ujumbe kutoka
Kampuni ya Condor ya Brazil
-
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma
amekutana na Ujumbe kutoka Kampuni ya Condor ya Brazil wakati walipofika
Of...
3 hours ago
0 Comments