Alula Girma wa timu ya taifa ya Ethiopia(kulia) akichuana na Abuelgasim Saeed wa timu ya taifa ya Sudan wakati wa mchezo wao wa michuano ya kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika kuanzia saa nane mchana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na timu hizo kutoka sare ya magoli 1-1 (Picha na Mohammed Mambo).
PWANI YAJIPANGA KUPOKEA MWENGE WA UHURU APRILI 18
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani, April 16, 2026
MKOA wa Pwani umejipanga kupokea Mwenge wa Uhuru Aprili 18, 2026, huku
wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wing...
13 minutes ago
0 Comments