Alula Girma wa timu ya taifa ya Ethiopia(kulia) akichuana na Abuelgasim Saeed wa timu ya taifa ya Sudan wakati wa mchezo wao wa michuano ya kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika kuanzia saa nane mchana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na timu hizo kutoka sare ya magoli 1-1 (Picha na Mohammed Mambo).
Rais Dkt Samia ashiriki Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa
Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (CAHOSCC) jijini Addis Ababa, Ethiopia
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. 001: Samia Suluhu
Hassan akiwasili katika jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika kwa ajili
ya k...
7 hours ago
0 Comments