Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imeridhia viwango vipya vya nauli kwa ajili ya usafiri wa abiria katika Jiji la Dar es Salaam. Viwango hivi vipya vimefikiwa baada ya kufuata taratibu za kisheria na za kiutendaji ambazo SUMATRA kama msimamizi na mdhibiti wa sekta ya usafiri wa barabara inapaswa kuzifuata kabla ya kuridhia viwango hivyo. Viwango vya nauli vinaanza kutumika kuanzia tarehe 10 Machi, 2011.
Mchanganuo wa viwango vipya vya nauli ni kama ilivyoambatanishwa.
David Mziray
Meneja Mawasiliano kwa Umma
SUMATRA
SERIKALI YAFAFANUA HATUA ZA KUDHIBITI MIKOPO YENYE RIBA KUBWA
-
Na. Chedaiwe Msuya na Jordan Mbwambo WF, Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amesema
Serikali inaendelea kuchukua hatua mba...
2 hours ago
0 Comments