Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofautitofauti alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwwnye Ziara ya Kiserikali nchini Angola leo Aprili 07, 2025 ikiwa ni Mwaliko wa Rais wa Angola Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Viongozi pamoja na Makundi
mbalimbali, Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari ali...
8 hours ago





0 Comments