Tukio hilo limefanyika jana tarehe 14 ,Aprili, 2025 Jijini Brazzaville kushuhudiwa na baadhi ya Maafisa Waandamizi wa nchi zote mbili.
Mhe. Kikwete amewasilisha salamu za Rais Samia ambazo zmeelezea umuhimu wa nchi za Afrika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kama njia muhimu kwa bara hilo kujitegemea, hususan katika kipindi hiki ambapo misaada kutoka nchi za magharibi imepungua kwa kiasi kikubwa.
MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA PAMOJA YA SJMT NA SMZ
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ameongoza kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya
Muunga...
1 hour ago



0 Comments