Tukio hilo limefanyika jana tarehe 14 ,Aprili, 2025 Jijini Brazzaville kushuhudiwa na baadhi ya Maafisa Waandamizi wa nchi zote mbili.
Mhe. Kikwete amewasilisha salamu za Rais Samia ambazo zmeelezea umuhimu wa nchi za Afrika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kama njia muhimu kwa bara hilo kujitegemea, hususan katika kipindi hiki ambapo misaada kutoka nchi za magharibi imepungua kwa kiasi kikubwa.
CHUO KIKUU MZUMBE KUIBUA VIPAJI VYA UBUNIFU KWA VIJANA
-
Farida Mangube, Morogoro
Katika juhudi za kupambana na changamoto ya ajira kwa vijana na kuhamasisha
maendeleo ya kiuchumi nchini, Chuo Kikuu Mzumbe kimean...
3 hours ago
0 Comments