Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.
Naibu Waziri Londo Aitaka Wakala wa Vipimo Kusimamia Sheria Kulinda Haki za
Mlaji
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ameitaka Wakala wa
Vipimo (WMA) nchini kuongeza uwajibikaji katika kusimamia kikamilifu
utekelezaji wa S...
4 minutes ago

0 Comments