Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.
Dkt. Abbasi: Royal Tour Imelipa, Tunakuja na Mikakati Mingine Kabambe
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Aprili
30, 2026, “amewapiga msasa” waongoza watalii zaidi y...
6 hours ago

0 Comments