Waandishi wa habari na wawakilishi wa
asasi za kiraia kutoka maeneo mbalimbali wakishiriki mafunzo kuhusiana
sheria ya haki ya kupata habari pamoja na sheria ya huduma ya vyombo vya
habari ili kuchangia uwepo wa vipengele vipya katika katiba mpya ambayo
mchakatowake unaendelea.
Waandishi wa habari na wawakilishi wa
asasi za kiraia kutoka maeneo mbalimbali wakishiriki mafunzo kuhusiana
sheria ya haki ya kupata habari pamoja na sheria ya huduma ya vyombo vya
habari ili kuchangia uwepo wa vipengele vipya katika katiba mpya ambayo
mchakatowake unaendelea.
Baadhi ya wanasemina hao wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo.
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments