Social Icons

Monday, December 19, 2016

MELO ARUDISHWA URAIANI

 Mshtakiwa wa kesi ya kuzuia taarifa ya upelelezi wa Jeshi la Polisi na kuendesha mtandao ambao haujasajiliwa Tanzania, Maxence Melo akisindikizwa na askari Magereza wakati akiingia katika ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Habari Mseto Blog).
 Melo akiingia Mahakamani.
 Melo akipanda ngazi kuelekea mahakamani.
 Akiingia mahakamani.
 Melo
 Wapigapicha wakichukua tukio hilo.
 Melo akitoka baada ya kupata dhamana.
 Mshtakiwa wa kesi ya kuzuia taarifa ya upelelezi wa Jeshi la Polisi na kuendesha mtandao ambao haujasajiliwa Tanzania, Maxence Melo (katikati), akitoka katika ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.

Melo akizungumza na mawakili wake.
Francis Dande +255784 62 39 58 +255713 62 39 58 www.francisdande.blogspot.com

No comments:

 
 
Blogger Templates