Social Icons

Thursday, May 3, 2018

IDDY MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WAPIMA UZITO KWA KUZIPIGA KESHO TAIFA


Bondia Idd Mkwera akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa kushoto ni mpinzani wake Ramadhani Shauri Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa ngumi Evalist Ernest  katiakati akiwainua mikono juu bondia Ramadhani Shauri kushoto na Iddy Mkwera baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Ijumaa mei 4 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa ngumi Evalist Ernest  katiakati akiwainua mikono juu bondia Ramadhani Shauri kushoto na Iddy Mkwera baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Ijumaa mei 4 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mchezo wa ngumi Evalist Ernest  katiakati akiwainua mikono juu bondia Ramadhani Shauri kushoto na Iddy Mkwera baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Ijumaa mei 4 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa ngumi Evalist Ernest  katiakati akiwainua mikono juu bondia Ramadhani Shauri kushoto na Iddy Mkwera baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Ijumaa mei 4 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA IDDY MKWERA AKIPIMA AFYA KWA DR DOLNAD MADONNO KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE NA RAMADHANI SHAURI


Bondia Idd Mkwera akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa kushoto ni mpinzani wake Ramadhani Shauri Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

 
 
Blogger Templates