Thursday, September 3, 2015
SERIKALI YASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA UJENZI WA DARAJA LA SALENDA
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (katikati ) akiwa
katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim ya Korea Seong-hyeog Yim (kushoto) mara
baada ya kusaini na hati ya mkataba wa makubaliano ya mkopo wa Dola
za Kimarekani milioni 91.032 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 154.39 za Kitanzania
zilizotolewa na Benki ya Exim ya Korea kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Salenda
jana Jijini Dar es salaam. Wengine katika picha ni Mtendaji wa Wakala wa barabara nchini (TANROADS) . Daraja hilo litaanzia eneo la Aghakhan kupitia bahari ya Hindi na kuishia katika ufukwe wa Coco ikiwa ni katika mpango wa kupunguza msongamano wa magari karika daraja hilo .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment