SMILE YATOA ‘ZAWADI YA KASI’




 
Mkurugenzi Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin ( katikati) Kushoto Deo Ndejembi Mkuu wa Mauzo na Madaha Fancis Mkuu wa Mtandau (Kulia)  wakizindua Smile 4G LTE broadband jijini Arusha
Hon Makamba kwenye uzinduzi ya Smile 4G LTE jijini Arusha akiwa na mkurugenzi wa Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin

For Immediate Release
DAR - ES- SALAAM 5Desemba, 2013
Katikakusherekeamwishowamwaka, Smile inafurahakuwatangaziapromosheniya ‘ZawadiyaKasi’, promosheniambayobiasharanawatubinafsiwatawezakununua “Mi-FI” ya Smile, kifaa cha kurushaintanetichenyematumizimengi, saiziyamfukoninakinachotumiabetriiliyojengewandani, kinachokujanakifurushi cha intaneti cha bure cha kuanzia.
MkuuwaMauzoyamojakwamojawa Smile, DeogratiusNdejembi, alisema “TunazinduapromosheniyaMi-Fi ambayoitadumukwamiezimiwili, kwanamnahiiwatuwengizaidiwatawezakufurahiaintanetiya Smile yenyekasizaidikatikamsimuhuuwasikukuukwabeinafuu.
“Biasharanyingi, marafikinafamiliasiotukwambawanahitajikutumiaintanetibalipiawanazidikutegemeaupatikanajiwaintanetiyenyeuboranakasizaidikatikashughulizao. Ili kuwasaidiawatuhawa, tunatoavifaavyetuvyakurushiaintanetivyaMi-FikatikabeiyapromosheniyaTsh 149,000 tu.Piatutawekakifurushi cha GB 5 kwenyekifaahicho,” aliongezaBw. Ndejembi.
Kifaahichochenyeuzitomdogonaukubwasawanasimundogoyamkononihufanyakazikama modem napiaMi-Fi inawezakuunganishampakavifaa 8 kwenyeintanetikwawakatimmoja; vifaahivivinawezakuwa tablet, komputampakato, simuzamkononinavifaavinginevyenyeuwezowakuunganishaintaneti.
"KwakutumiaMi-Fi watumiajiwanawezakuchangiaintanetiyenyekasiya Smile 4GLTE wakiwaofisini, nyumbani au wakiwanjiani. Masaayamawasilianobilayabugudhasasayanawezekanakwakutumia Smile Mi-Fi, ambayoinabetriinayokaamudamrefumpakamasaa 8 yamatumiziyakawaidayaintaneti" alisemaBw.Ndejembi.
Smile Mi-Fi inamuundowakuvutianawakisasa. Kioochakekinaruhusumtumiajikuonakwaurahisihaliyamawasiliano, matumiziyakifurushi, nguvuyamawasiliano, kalendanamuda. Kutumiakifaahikinirahisi, “chomekanatumia” (Plug and Play), nahakihitajikuwana program yoyoteilikiwezekufanyakazi.
"Tuna furahakubwakutangazapromoshenihii, nakutoanafasikwaWatanzaniazaidikujioneakasinaufanisiwamtandaowetuambaounaendasambambanamitandaoyenyekasidunianiilikuendananamahitajiyanayobadilikayajamiiyaWatanzania” alisema Fiona McGloin, Menejawa Smile Tanzania na Uganda.
 

Post a Comment

0 Comments