Social Icons

Wednesday, June 15, 2016

TWD YAKUTANA KUTENGENEZA KATIBA YAO

Umoja wa madjs wa zamani waliosumbua katika muziki wa Disco enzi zao ulikutana tena siku ya Jumanne June 14, 2016 Escape one Mikocheni katika kikao chao cha kamati iliyoteuliwa kuunda katiba ya umoja huo uliobeba jina la Tanzania Worldwide Djs ukiwa unawajumuisha madjs wote waliotamba enzi zao ambao kwa sasa wametapakaa kote dunia. Walioshiriki kikao maalum cha kutengeneza katiba ni Dj Saydou, Dj Godfather, Dj Peter Moe, Dj Ebony M, Dj Venture, Dj Young Ray na Dj Young Jesse.
Madjs wa zamani wakiendelea na kikao chao cha kutengeneza katiba itakayowaongoza.
Geofrey Adroph BLOGGER P.O.BOX 24793, Mob: +255 755 274953 /+255 713 363965, Email: pamojapure@gmail.com. Blog: http://www.pamoja.co.tz/ DAR ES SALAAM, TANZANIA

No comments:

 
 
Blogger Templates