Social Icons

Sunday, February 14, 2016

MWANAMKE ALIYEPAMBANA NA JAMBAZI ATUNZWA

Mwanamke  aliyepambana na jambazi  na kufanikiwa kunyang'anya bunduki aina ya SMG, Sophia  Manguye (46), amepewa zawadi  sh. 500,000  na Kamanda wa Kanda Maalum Polisi Rorya Tarime  Gemini  Mushy.Chanzo EATV .

No comments:

 
 
Blogger Templates