Pichani kushoto ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Sudi Odemba a kiza chambray kadi za Mwapachu leo katika ofisi ya Kata Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Balozi Juma Mwapachu akimkabidhi kadi zake mbili katibu Sudi Odemba na kusema anajiona na Ukawa huku akisema kwamba atatangaza chama baadaye lakini anamsapoti Mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
No comments:
Post a Comment