Social Icons

Friday, April 17, 2015

ZIFF YATANGAZA FILAMU ZITAZOSHINDANIA TUZO YA SEMBENE OUSMANE















Tamasha la ZIFF limetangazafilamu 16 zitakazoshindanakatikakugombeatuzoyaSembeneOusmanekatikatamashalitakalofanyikabaadayemwakahuu.Filamuzinatokakatikanchi 11 ambazonipamojanaMarekani, Brazil, Senegal, Madagascar, Ghana, Cameroon, Morocco, Kenya, South Africa, Ethiopia and Tanzania.

“ShindanohililimetungwailikuboreshaufundiwakutengenezafilamufupizinazobuniwannavijanawaKiafrika”, alisemaFabrizio Colombo, Mkurugenzi Msaidiziwa ZIFF. “Filamu 16 zimo katika kinyang’anyiro hicho, na washindi watatu watapewa $2000 kila mmoja ili kuwasaidia kutengeneza filamu nyingine tayari kwa tamasha la ZIFF mwaka ujao” aliongezea.

Bernd Multhaupwashirika la GIZ, wadhaminiwatuzohii, alinakiliwaakisema, “Tuliamuwa kutoa zawadi tatu ili kuwapa motisha watengeneza filamu wengi zaidi kwa kupitia tuzo ya Sembene. Tunatambuwa kuwa filamu fupi zinauwezo mkubwa wa kuboresha ubunifu bila ya kupunguza ubora wa filamu”.

Hao washindi watatu watatakiwa kutuma hadithi zao pamoja na mpango-kazi wautengenezaj i wa hizo filamu kabla hawajapewa fedha walizoshinda i likuhakikisha filamu zitatengenezwa kuwahi tamasha lijalomwakani. Kwa njia hiyo ZIFF itahakikisha kupata filamu nyingine na kuboresha ufundi wa kutengeneza filamu fupi na bora.

Filamu 16 zilizochaguliwani:

Lesley: Victor Okoye Frank, USA / 15 min
O Canto da Iona: Thiago B. Mendonca, Brazil / 25 min
Maruna: Molly Kane, Senegal / 15 min
Aisaa’s Story: Iquo B Essien, USA / 15 min
Madama Esther: Luck Razanajaona, Madagascar / 15 min
The Traveller: Victoria Dogbe, Ghana / 9 min
Damaru: AgborObed, Cameroon / 24 min
Houkak: YounesYoufsi, Morocco / 17 min
Kwaku: Anthony Nti, Ghana / 16 min
SamakiMchangani: AmilShivji, Tanzania, 30min
Kilimo 2: Neema& Warren Reed, Tanzania / 6 min
LiberteEmprisonnee: Sara Mikayel, Senegal /16min
SokoSonko: EkwaMsangi, Kenya / 22 min
Uthando: TulananaBohela, South Africa, 20min
Grandma Knows Best: Tamara Dawit, Ethiopia, 16min
Vitrin, Regis Talia, Cameroon, 15min

JuuYaMradi:Mradihuuunadhaminiwana GIZ,shirika la UshirikianowaKimataifa la Ujerumaniambalolinasaidia Tanzania naJumuiayaAfrikaMashariki. ZIFF nitamashakubwakulikoyoteAfrikamasharikinaambalolinatambuliwakimataifa. Tamashalinadhaminiwana ZUKU kupitiamkatabawaudhaminiwamiaka 10 utaoisha 2021. 

No comments:

 
 
Blogger Templates