skip to main |
skip to sidebar
JULIO AKIWAFUNDA COASTAL UNION
Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhuri
Kihwelu
'Julio' akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo mara baada ya
kumalizika mazoezi yao juzi kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani kwa ajili ya
kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa
Jumatano wiki ijayo kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro,Picha kwa
Hisani ya Coastal Union.
No comments:
Post a Comment