Social Icons

Tuesday, November 11, 2014

TAASISI YA STARKEY HEARING FOUNDATION YA MAREKANI YAENDESHA KLINIKI YA MASIKIO MKOANI ARUSHA

1qMMOJA wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio,Stuart Specer kutoka Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha,Ally Abdulrahman aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo PalaceJijini Arusha jana

3qWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha (IAA) waliokuja kujitolea wakisaidia kutoa huduma mbalimbali kwenye kliniki ya masikio iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha jana

No comments:

 
 
Blogger Templates