Tuesday, September 24, 2013
PICHA ZA REMMY WILLIAMS
Anaitwa Remmy
williams mtanzania anayefanya mziki nchini Italy amefanya nyimbo
akiwashirikisha wasanii wa hapa King Ruston, Moses Thomas& Mirror Rhymes.
nyimbo inaitwa AFRICA, imefanyioka katika studio za Overclassic, video
imefanywa na campuni ya Emedia chini
mwongozaji Nick Dizo na Sama katika viunga vya Mwanza
Remmy Williams katika pozi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment