Asalaamalaikum wadau wa Blogu ya Bongoweekend pichani ni mimi nadau wangu kutoka kulia ni Chalila Kibuda tukiungana na waumini wote wa dini ya Kiislamu ambao wako katika ibada ya Hijja ambapo leo ni siku ya Arafa ambapo Mahujaji hupiga mawe ikiwa ni ishara ya kumlaani sheitwan. EID MUBARAK
1 comment:
Umetoka bomba km mke wa mfalme hehee.
Post a Comment