MALKIA WA BAR YA TOP LIFE KINONDONI WAKIWA MAZOEZINI
Chini ni baadhi ya washiriki wa shindano la kumsaka Malkia wa Bar ya Top Life iliyopo maeneo ya Kinondoni Mkwajuni ambapo wanatarajiwa kuchuana katika shindano lililopangwa kufanyika Desemba 8 mwaka huu.
No comments:
Post a Comment