Mgombea urais wa Tanazaia kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Mpanda, katika mkutanoa wake wa kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili.
Friday, October 8, 2010
DK. WILLIBROD SLAA AFUNIKA MPANDA
Baadhi wa wananchi wa Mpanda, wakimsikiliza kwa makini mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maemdeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili(Matukio yote haya na mpigapicha mkuu wa gazeti Pendwa nchini la Tanzania Daima Bw Joseph Senga).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment