WAZIRI UMMY MWALIMU ALIPOHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WANAWAKE KUHUS MASUALA YA AFYA
Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu
akiongea na Wajumbe wa Mkutano wa Viongozi Wanawake katika masuala ya Afya
katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es Salaam 5 Mei, 2016.
Balozi
wa Denmark nchini Tanzania, Mhe. Einar Hebogard Jensen akiongea na Wajumbe wa Mkutano wa Viongozi
Wanawake katika masuala ya Afya katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar
es Salaam, 5 Mei, 2016.
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi, Dkt. Fatuma Mrisho akiongea na Wajumbe wa Mkutano wa Viongozi
Wanawake katika masuala ya Afya katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar
es Salaam , 5 Mei, 2016.
No comments:
Post a Comment