Tuesday, August 25, 2015
WANANCHI WAMZUIA MGOMBEA MWENZA WA CCM BARABARANI MWANGA
Bi. Samia Othuman Suluhu akipokewa na baadhi ya viongozi na makada wakiwa kwenye mkutano huo Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
BAADHI ya wananchi na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamelazimika kuuzuia msafara wa mgombea mwenza wa nafasi ya urais leo alipokuwa njiani akitokea Wilaya ya Same kuelekea Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro huku wakimuomba awasalimu na kuzungumza nao, kabla ya kuendelea na safari yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment