Social Icons

Monday, September 22, 2014

SIMBA YATOKA SARE YA 2-2 COAST UNION UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM

Beki wa Simba, Mohamed Hussein (kulia) akichuana na Seleman Rajab. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.

Emmanuel Okwi akiwania mpira na beki wa Coast Union.
 Umati wa mashabiki waliofika uwanja wa Taifa.
 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coast Union, Abdallah Mfuko.
Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akiruka daruga la beki wa Coast Union. 
 Hamis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Coast Union.

No comments:

 
 
Blogger Templates