Mbunge wa Ubungo John Mnyika akiwasikiliza wafanyabiashara ndogo ndogo walioenda ofisini kwake kwa ajili ya kuishinikiza manispaa ya Kinondoni iwapatie maeneo maalum ya kufanyia biashara kutokana na zoezi linaloendelea la kuwaondoa katika maeneo hatarishi ya Ubungo Tanesco(Picha na Abdallah Khamis)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment