Social Icons

Monday, March 14, 2011

QUEEN SUZY AKISALIMIA MASHABIKI WA FM

Mnenguaji machachari wa bendi ya FM Academia hapa akiwa katika onyesho la bendi hiyo lililorindima kwenye ukumbi wa Kijiji cha Makumbusho,Dar es Salaam.Queen Suzy ametua Bongo mara baada ya kutoka Umangani ambako alikwenda kwa shughuli za kikazi.

1 comment:

Anonymous said...

Alikuja huku kwa shughuli za kujiuza sio kikazi kama mwandishi alivyooandika.

 
 
Blogger Templates