MHE.MATINYI APOKEWA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI NCHINI SWEDEN

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, akipokewa na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini Stockholm alipoingia ofisini kwa mara ya kwanza .
Mapokezi hayo yamefanyika   Mei 5, 2025  mbali ya Sweden, Balozi Matinyi ataiwakilisha pia Tanzania katika nchi za Sweden, Norway, Denmark, Finland, Iceland, Estonia, Latvia, Lithuania na Ukraine (Picha na Ubalozi, Stockholm).

 

Post a Comment

0 Comments