Social Icons

Sunday, March 25, 2018

DJ LUKE RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA WDMV 2018

Matokeo ya Uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Lucas Mukami (DJ Luke) ameibuka kuwa mshindi wa Urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV kwa kura kupata idadi ya 315, dhidi ya Liberatus Mwang'ombe, aliyepata kura 262. akifuatiwa na Rebeca 24.
Nafasi ya Makamu wa Rais imechukuliwa na Joha 352 Joyce 248. Katibu ni  Cleopatra 311 Omby 214 Dotto 70. Katibu  Msaidizi Saria 360 DMK 23. . Mweka Hazina msaidizi ni Magret 263 Mikidadi 329.... Bodi inaundwa na  na Mashaka 413 Zena 296 Jabil 330. Pius 454 Asha 386 Hamza 295 Ruth 250.

No comments:

 
 
Blogger Templates