Social Icons

Sunday, February 4, 2018

WANA CCM MUHEZA WAADHIMISHA MIAKA 41 KWA KUSHRIKI MSARAGAMBO WA UJENZI WA HOSPITALI


Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kulia akiwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Desderia Haule kushoto wakishirikiana na wananchi na wanachama wa chama hicho kushiriki msaragambo wa ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo 
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kulia akiwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Desderia Haule kushoto wakiwa na mashepe wakishirikiana na wananchi na wanachama wa chama hicho kubeba kukoto kwa ajili ya ujenzi  ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo 
 Sehemu ya wananchi wakishriki kwenye zoezi la kubeba maji kwa ajili ya kushiriki Msaragambo wa Ujeniz wa Hospitali ya wilaya ya Muheza
  Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kushoto akishusha ndoo iliyokuwa na zege kwa ajili ya kusambazwa kwenye msingi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ambapo Mwenyekiti huyo aliwaongoza wanachama wa chama hicho kushiriki kwenye msaragambo huo
 Sehemu ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wakishiriki kwenye kuchanganya zege
Sehemu ya wana CCM na wananchi wakishirikiana kubeba zege tayari kuimwaga kwenye msingi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Muheza wakati waliposhiriki Msaragambo ambao uliongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu (Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)

No comments:

 
 
Blogger Templates