Social Icons

Saturday, July 1, 2017

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI MAONESHO YA 41 YA SABASABA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akipungia  mkono  wananchi  wakati  akitembekea  mabanda mbalimbali  baada yakufungua  rasmi  maonesho  ya 41 ya Biashara yaKimataifa  katika viwanja  vywa Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam leo.Rasi  Magufuli ameyafungua rasmi maonyesho hayo  yaliyoanza Juni 28 mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi   na kutarajiwa kumalizika Julai 13 mwaka huu.

(PICHA NA IKULU)

No comments:

 
 
Blogger Templates