Social Icons

Friday, June 23, 2017

MKUU WAWILAYA UBUNGO KISARE MAKORI AFUNGUA MAFUNZO KWA WENYEVITI WATENDAJI WA KATA NA MITAA

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akielezea lengo la mafunzo muda mchache kabla ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Ubungo sambamba na Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati wa kufungua mafunzo ya siku nne ya kuwajenega uwezo Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaakwa.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg Jmaes Mkumbo akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Mkuu wa Idara ya Mipango na Uchumi Manispaa ya Ubungo Ndg Yamo Wambura (Kulia) sambamba na Hosia Kivulenge wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati akifungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma Ally akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati akifungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Ubungo sambamba na Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati wa kufungua mafunzo ya siku nne ya kuwajenega uwezo Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaakwa.
Baadhi ya Watendaji wa Kata wakishangilia jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akielezea lengo la mafunzo muda mchache kabla ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akifatilia kikao kabla ya kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo

Na Mathias Canal, Dar es salaam

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori leo June 21, 2017 amefungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo kuhusu Mwongozo mpya wa mapokezi na Matumizi ya fedha za LGDG (Local Government Development Grant), Mpango wa fursa na vikwazo kwa maendeleo (O and OD-Oportunity and Obstacle to Development), Rushwa mahala Pa kazi, Ulinzi na Usalama, Na sheria ya Ardhi.

Mafunzo hayo pia yatahusisha masuala ya Utawala bora, Majukumu ya Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa, Pia kujifunza kuhusu historia na uhalali wa serikali za Mitaa, Sheria za uendeshaji wa Mamlaka za serikali za Mitaa, Muundo, Madaraka na Majukumu ya serikali za Mitaa, Mamlaka za serikali za Mitaa, Maadili ya viongozi wa Umma na Ulinzi na usalama katika maeneo ya kazi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mhe Makori alisema kuwa mafunzo hayo yanayotolewa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa mafunzo ulioidhinishwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Alimpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo kwa kuandaa mafunzo hayo kwani yatatoa fursa kwa Wenyeviti na Watendaji wa Kata na Mitaa kuimarika katika nidhamu ya utendaji hususani kutekeleza mambo yaliyoainishwa kutekelezwa katika maeneo yao kwa maslahi ya wananchi.

Alisema kuwa mafunzo hayo yatatoa ufanisi wa uelewa mipaka na mamlaka katika utendaji jambo ambalo litawasaidia kuepuka migongano ya kimaslahi katika utekelezaji wa shughuli za uwakilishi wa wananchi pamoja na kusimamia utekelezaji wa shughuli za Halmashauri.

Aliongeza kuwa mada zote ziatakazotolewa itakuwa ni chachu ya kufungua ukurasa mpya kwa kuzingatia misingi ya utawala bora kwa kufuata miiko ya uongozi na kuongeza uadilifu katika utendaji kazi wa kila siku ili kufikia malengo yaliyoidhinishwa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo alisema kuwa lengo la mafunzo hayo yanayotolewa kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji Kata na Mitaa katika Manispaa ya Ubungo ni kuwajengea uwezo katika kutatua matatizo ya wananchi, kuwasilisha mawazo yao katika vikao vya kisheria, kuchambua sera na mikakati ya kutekeleza mipango mbalimbali, kutafuta ufumbuzi wa changamoto za wananchi katika maeneo yetu ya kusimamia majukumu yetu kikamilifu.

MD Kayombo alisema kuwa mafunzo hayo yanalenga kuinua kiwango cha utendaji kazi kwa kuongeza stadi na maarifa ya uongozi ambayo yatachangia kuongeza tija na ufanisi katika shughuli zao ikiwa ni pamoja na kuondoa migogoro ya kila siku baina ya Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa.


MWISHO
x
KAWAIDA...! MKUU WA WILAYA YA UBUNGO MHE KISARE MAKORI AFUNGUA MAFUNZO KWA WENYEVITI, NA WATENDAJI KATA NA MITAA Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akielezea lengo la mafunzo muda mchache kabla ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Ubungo sambamba na Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati wa kufungua mafunzo ya siku nne ya kuwajenega uwezo Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaakwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg Jmaes Mkumbo akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Mkuu wa Idara ya Mipango na Uchumi Manispaa ya Ubungo Ndg Yamo Wambura (Kulia) sambamba na Hosia Kivulenge wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati akifungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma Ally akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati akifungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Ubungo sambamba na Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori wakati wa kufungua mafunzo ya siku nne ya kuwajenega uwezo Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaakwa. Baadhi ya Watendaji wa Kata wakishangilia jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akielezea lengo la mafunzo muda mchache kabla ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akifatilia kikao kabla ya kufungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo Na Mathias Canal, Dar es salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori leo June 21, 2017 amefungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa yatakayofanyika kwa siku nne katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo kuhusu Mwongozo mpya wa mapokezi na Matumizi ya fedha za LGDG (Local Government Development Grant), Mpango wa fursa na vikwazo kwa maendeleo (O and OD-Oportunity and Obstacle to Development), Rushwa mahala Pa kazi, Ulinzi na Usalama, Na sheria ya Ardhi. Mafunzo hayo pia yatahusisha masuala ya Utawala bora, Majukumu ya Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa, Pia kujifunza kuhusu historia na uhalali wa serikali za Mitaa, Sheria za uendeshaji wa Mamlaka za serikali za Mitaa, Muundo, Madaraka na Majukumu ya serikali za Mitaa, Mamlaka za serikali za Mitaa, Maadili ya viongozi wa Umma na Ulinzi na usalama katika maeneo ya kazi. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mhe Makori alisema kuwa mafunzo hayo yanayotolewa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa mafunzo ulioidhinishwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Alimpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo kwa kuandaa mafunzo hayo kwani yatatoa fursa kwa Wenyeviti na Watendaji wa Kata na Mitaa kuimarika katika nidhamu ya utendaji hususani kutekeleza mambo yaliyoainishwa kutekelezwa katika maeneo yao kwa maslahi ya wananchi. Alisema kuwa mafunzo hayo yatatoa ufanisi wa uelewa mipaka na mamlaka katika utendaji jambo ambalo litawasaidia kuepuka migongano ya kimaslahi katika utekelezaji wa shughuli za uwakilishi wa wananchi pamoja na kusimamia utekelezaji wa shughuli za Halmashauri. Aliongeza kuwa mada zote ziatakazotolewa itakuwa ni chachu ya kufungua ukurasa mpya kwa kuzingatia misingi ya utawala bora kwa kufuata miiko ya uongozi na kuongeza uadilifu katika utendaji kazi wa kila siku ili kufikia malengo yaliyoidhinishwa. Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo alisema kuwa lengo la mafunzo hayo yanayotolewa kwa Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji Kata na Mitaa katika Manispaa ya Ubungo ni kuwajengea uwezo katika kutatua matatizo ya wananchi, kuwasilisha mawazo yao katika vikao vya kisheria, kuchambua sera na mikakati ya kutekeleza mipango mbalimbali, kutafuta ufumbuzi wa changamoto za wananchi katika maeneo yetu ya kusimamia majukumu yetu kikamilifu. MD Kayombo alisema kuwa mafunzo hayo yanalenga kuinua kiwango cha utendaji kazi kwa kuongeza stadi na maarifa ya uongozi ambayo yatachangia kuongeza tija na ufanisi katika shughuli zao ikiwa ni pamoja na kuondoa migogoro ya kila siku baina ya Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Kata na Mitaa. MWISHO

No comments:

 
 
Blogger Templates