Social Icons

Thursday, May 11, 2017

WAZIRI MWAKYEMBE APOKEA HUNDI YA SH.BIL.50 YA SPORT PESA KUCHANGIA SERENGETI BOYS


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harisson Mwakyembe (Kushoto) akipokea Hundi ya Shillingi milioni 50 kutoka kwa Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tarimba Abbas( kulia) kwa ajili ya kuisadia timu ya mpira ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) leo Jijini Dar es Salaam, katika ni Mkurugenzi wa Michezo Yussuph Singo.


 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harisson Mwakyembe (Kushoto) akitoa neno la shukrani baada ya kupokea Hundi ya Shillingi Milioni 50 kutoka kwa Kampuni ya SportPesa kwajili ya kuisadia timu ya mpira ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) leo Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni hiyo Tarimba Abbas.

No comments:

 
 
Blogger Templates