Gavana wa Benki Kuu ya
Tanzania (BOT) Prof. Benno Ndulu (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya
Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka (Mb) wakiteta
jambo wakati wa Kikao cha siku mbili cha
Kuwajengea Uwezo Wajumbe wa Kamati hiyo kuhusu majukumu ya benki hiyo
kilichofanyika jijini Dar es Salaam 13-14
Januari, 2017.
|
No comments:
Post a Comment