Social Icons

Saturday, January 7, 2017

ASHA BARAKA: ALLY CHOKI BADO YUPO YUPO SANA TWANGA


Mkurugenzi  na  mmiliki wa bendi ya The African Stars 'Twanga Pepeta' Asha Baraka pichani juu  amekanusha vikali uvumi wa habari kwamba msanii wake galacha wa bendi hiyo Camarade Ally Choki kaondoka Twanga Pepeta.

Akizungumza na Bongoweekend ,  Asha anasisitiza kwa kusema kuwa Choki  alisaini mkataba na Kampuni inayomiliki bendi hiyo African Stars Entertainment (Aset),2015 na mkataba huo utafikia ukomo   mwaka  2018  hivyo  hizo habari za kuondoka kwake hazina ukweli wowote zipuuzwe.

No comments:

 
 
Blogger Templates