Social Icons

Sunday, December 25, 2016

WAUMINI WA DINI YA KIKRISTU KIVULE WALIVYOSHIRIKI IBADA YA KRISMASI LEO

 Wanakwaya wa Vijana ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mtaa wa Kivule, wakimpigia saluti Yesu Kristo walipokuwa wakiimba wimbo wa kumsifu Yesu wakati wa Ibada ya Krismasi.
 Mchungaji wa Kanisa la KKKT Mtaa wa Kivule, Dar es Salaam, Michael Mgaya akitoa mahubiri wakati wa Ibada ya Kuzaliwa Yesu Kristo ya Krismasi asubuhi
 Waumini wakiomba wakati wa ibada hiyo
 Waumini wakimwimbia Yesu Kristo
 Waumini wakiimba wimbo wa kumsifu Yesu Kristo




 Mwandishi wa Habari wa Kujitegemea, Spear Patrick  (kushoto) na mkewe wakishiriki kuimba wimbo wa kuzaliwa Yesu Kristo
 Lusekelo Mwaikenda (kushoto) ambaye ni Mtoto wa mmiliki wa Blog hii, Richard Mwaikenda akiwa miongoni mwa waumini akishiriki kuimba wimbo wakati wa Ibada ya Krismasi
 Waumini wakiomba

 Mwinjilisti Michael Mgaya (wa pili kushoto) akitoa neno alipokuwa akihitimisha Ibada ya Krismasi

 Waumini wakiondoka baada ya Ibada ya Krismasi kumalizika
Mpigapicha wa kujitegemea, Spear Patrick akipiga picha na familia yake pamoja na familia ya mmiliki wa blog hii, Richard Mwaikenda baada ya kumalizika kwa Ibada ya Krismasi

No comments:

 
 
Blogger Templates