Social Icons

Tuesday, September 20, 2016

FILAMU KALI 'MBINGU YA WAKOSEFU' YAINGIA MTAANI

 Hii ndio Filamu yenyewe ya Mbingu ya Wakosefu  
Ili kupata nakala yako tafadhali wasiliana nasi kwa kutumia namba 0713455232
 Mkurugenzi Mkuu wa Mwamba's Film Casting  Stephen Mapunda akiwa na CD za Mbingu ya Wakosefu
 Msimamizi Mkuu wa Blogs za Mikoa Tanzania Fredy Anthony Njeje  akiwa na DVD zake za Mbingu ya Wakosefu
 Mmoja wa vijana wa Mwamba's Film Casting Montana akiwa tayari kuelekea kusambaza DVD hii sehemu mbalimbali
 Faith anakwambia "Bado haujachelewa kupata nakala yako ya Mbingu ya Wakosefu ambayo ambapo utajifunza mengi"
 Kijana Juma ambaye yupo Mwamba's Firm Casting  akiwa na DVD ya Mbingu ya Wakosefu 
Mwanadada Lilian Michael anasema "Filamu hii ya Mbingu ya wakosefu inamafunzo tosha sana kwa watu wa rika zote hivyo si ya kuikosa"
 Kijana Samson Tarimo nae anasema kwamba "Kijana na watu wa zima kwa kuangalia Filamu hii utapata chakula cha Ubongo na kujifunza mengi"
 Filamu hii kwa hakika sio ya kuikosa kabisa , na utafikishiwa pale ulipo
 Mmoja wa wateja Atrey (Kusoto) akipata DVD yake ya Mbingu ya Wakosefu
 Bi dada nae akipata Filamu yake ya Mbinu ya Wakosefu kutoka wa Faith
Waaaah.....
Watembelee hapa http://mwambasfilmcasting.blogspot.com  kuona Shughuli zao za mazozi
Picha zote na Fredy  Njeje

No comments:

 
 
Blogger Templates