Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw.
Maharage Chande akishukuru Serikali kwa
fursa ya kuunga mkono jitihada za kuendeleza michezo wakati wa hafla ya kuwaaga
wanamichezo wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil katika mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016
leo Agosti 1, 2016.
|
No comments:
Post a Comment