Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mhe. Anastazia Wambura (kushoto) akimsikiliza kwa makini mmoja wa wakurugenzi
wa Wanene Entertainment Bw. Bhadresh Pandit (kulia) wakati wa hafla uzinduzi wa
studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam
katikati ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo .
|
No comments:
Post a Comment