Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Nape Moses Nnauye akisalimiana na muigizaji mkongwe nchini na mmoja ya
waigizaji katika filamu ya Sikitu Amir Athumani ‘King Majuto” wakati akiwasili
katika ukumbi wa Suncrest Cine Plex uliopo katika jengo la Quality Centre
Jijini Dar es Salaam kuzindua filamu ya Sikitu Julai 15, 2016.
|
No comments:
Post a Comment