Afisa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,
Sanaa na Michezo Bw. Habibu Msammy akichangia
mada wakati wa majadaliano kati ya na Naibu
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura na Katibu
Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime kuhusu maboresho ya tasnia ya Muziki hapa
nchini leo Julai 21 Jijini Dar es Salaam.;
|
No comments:
Post a Comment