TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment