Social Icons

Saturday, May 28, 2016

BALOZI WA TANZANIA NCHINI KENYA AWATOA HOFU TAIFA STARS


Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akipiga picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya soka ya Tanzania baada ya kuzungumza nao na kuwatoa hofu ya maisha na usalama wakiwa Nairobi, Kenya. Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, ipo Nairobi kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Harambee Stars ya Kenya utakaofanyoka kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Moi Kasarani.
(Picha na Alfred Lucas wa TFF)

No comments:

 
 
Blogger Templates