Social Icons

Monday, April 28, 2014

MSONDO WATOA BURUDANI KWA WAFANYAKAZI


Mwimbaji wa bend ya msondo ngoma Shaban Dede akiimba wakati wa maonesho ya mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya mnazi mmoja Dar es salaam

Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma wakitoa burudani wakati wa siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya mnazi mmoja Dar es salaam
Wapuliza hara wa bendi ya msondo ngoma wakiwajibika wakati wa mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini kutoka kushoto ni Shabani Lendi, Hamisi Mnyupe na Roman Mn'gande

No comments:

 
 
Blogger Templates